
Alikiba
Alikiba alifanya zoezi na wachezaji wa Lipuli ikiwa ni saa chache kabla ya kuanza kwa Tamasha lake la Alikiba Unforgetable Tour, ambayo ilifanyika uzikuwa kuamkia bna kushuhudia mamia ya watu kumiminika kwenye Tamasha hilo.
Katika Tamasha hilo Alikiba alimpandisha Mkuu wa Wila ya Iringa Mjini Richard Kasesela ambaye kama kawaida yake alitumbuiza kwenye majukwa ya burudani.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mh @Kasesela tupo naye hapa na ameomba wimbo wa Nani Kama Mama wa @Chrissbella1 urudiwe na aimbe na @OfficialAliKiba kama unavyojua ombi la mkuu ni agizo kwahiyo wamefanya hivyo. #AlikibaUnforgettableTour #MamboYashakuwaMakubwa pic.twitter.com/xpq0WoAO0y
— East Africa TV (@eastafricatv) December 22, 2019