
Msanii Mariah Carey
Msuguano mkali kati ya wasanii hawa uliotokea kwenye mkutanowao hivi karibuni ambapo inaripoti Carey amekatisha mahusiano yake yakibiashara na rappper Jay Z, ikiwa ni miaka mitatu na nusu tu tangu ku-signdili na kampuni yake ya usimamizi ya Roc Nation mwaka 2017.
Picha ya pamoja Mariah Carey na Jay-Z
Taarifa zinasema Carey atajiondoa rasmi Roc Nation ndani ya wiki chache kuanzia sasa, ingawa amekanusha kuwa palikuwa na ugomvi mkubwa na rafiki yake huyo wa muda mrefu Jay Z.