
Picha ya msanii Moni Centrozone
Kupitia Instagram yake Moni ameandika kwamba "Kuna kipindi watu wa Instagram walitaka kunitoa roho kwa stress, kama unavyojua hapa Jijini usipojitetea kwa kipaji na kuonesha uwezo wako nobody care"
"Kifupi Dar es Salaam inabidi uwe na kitu ili ndo uwe mtu la sivyo utarudi kwenu Kimbiji na hakuna kitu utafanya".