Alhamisi , 4th Nov , 2021

Usitegemee kumuona rais wa kitaa Nay wa Mitego kuingia kwenye ndoa mapema kwa sababu anaona atamuumiza mwanamke atakayemuoa pia hata waliooa nao hawamshawishi kuingia kwenye ndoa.

Picha ya Nay wa Mitego

Nay wa Mitego ameongeza kusema mpaka sasa ameshakuwa na wanawake zaidi ya 20 lakini hajaona hata mmoja wa kumuoa kwa sababu waliooa wanashea nao wanawake pamoja.

Zaidi tazama hapa kwenye video.