
Baadhi ya wananchi wa Mivumoni
Wakizungumza na EATV hii leo Oktoba 14, 2022, wamesema changamoto ya upatikanaji wa maji katika eneo hilo imekuwa kubwa na imekuwa ikimuathiri zaidi mwanamke kwa kuwa analazimika kutumia muda mwingi kwenda kutafuta maji jambo ambalo limesababisha ndoa nyingi kuvunjika.