Kauli ya Rais Samia kuhusu wanasiasa kusema uongo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka wanasiasa kutumia vizuri uwepo wa Mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa, kwani lengo kuu ni kuwaletea maendeleo wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS