Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka wanasiasa kutumia vizuri uwepo wa Mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa, kwani lengo kuu ni kuwaletea maendeleo wananchi.