Madrid kuwapiku United kwa Pochettino

Kocha Mauricio Pochettino akielekeza jambo uwanjani dhidi ya Real Madrid.

Klabu ya Real Madrid imeripotiwa kuungana na Manchester United katika harakati za kusaka saini ya kocha Mauricio Pochettino, ambaye anatarajiwa kuondoka Paris Saint-Germain mwishoni mwa msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS