Tumepanga kuwatoa Simba SC mapema-Bares

(Kocha wa Simba, Pablo Franco (kushoto) na Mohammed Bares wa JKT TZ)

Kocha wa JKT Tanzania, Mohammed Bares amejinasibu kuwafunga wekundu wa Msimbazi Simba na kuwavua Ubingwa wa kombe la TFF ASFC wakati wawili hao watakapokutana saa 1:00 Usiku wa leo kwenye mchezo wa mzunguko watatu wa kombe hilo kwa Mkapa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS