Tumepanga kuwatoa Simba SC mapema-Bares
Kocha wa JKT Tanzania, Mohammed Bares amejinasibu kuwafunga wekundu wa Msimbazi Simba na kuwavua Ubingwa wa kombe la TFF ASFC wakati wawili hao watakapokutana saa 1:00 Usiku wa leo kwenye mchezo wa mzunguko watatu wa kombe hilo kwa Mkapa.