Kijana agongelewa kwenye mti kwa misumari

Mkono ukiwa umegongelewa na msumari

Jeshi la Polisi nchini Kenya bado linaendelea kumtafuta mwanaume mmoja aliyegongelea kwenye mti mikono ya kijana mmoja anayeitwa Collins Sambaya (19), kwa kumtuhumu kuwa amemwibia redio yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS