Kauli ya Ibraah kwa wanaomshambulia Harmonize Picha ya Ibraah kulia, kushoto ni Harmonize First Born wa Konde Gang Music Ibraah Tz anasema wanaomshambulia boss wake Harmonize hawana maana ila wanalengo la kumuharibia kwa kitu alichonacho na ni jambo baya kwenye muziki. Read more about Kauli ya Ibraah kwa wanaomshambulia Harmonize