Ronaldo kumvua unahodha Maguire

(Harry Maguire na Cristiano Ranaldo wakijadili jambo kwenye mechi.)

Nyota wa Manchester united Cristiano Ronaldo na Harry Maguire wako katika hali ya mvutano wa kuwania unahodha wa Manchester United huku kocha wa muda wa kalbu hiyo Ralf Rangnick akifanya mazungumzo na nyota hao wawili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS