Spurs na Leicester 23 wana Covid-19

(Kocha wa Spurs, Antonio Conte na baadhi ya wachezaji wa Leicester City)

Vilabu vya Tottenham Hotspurs na Leicester City vimekumbwa na janga la Covid-19 baada ya wachezaji na wafanyakazi wake 20 kukutwa na maambukizi ya ugonjwa huo kufuatiwa na ripoti iliyotolewa usiku wa jana leo nchini England.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS