Djokovic atamani medali ya dhahabu Paris 2024

Nyota wa tennis Novak Djokovic

Nyota wa tennis kutoka Serbia Novak Djokovic amesema malengo yake kwa sasa ni kunyakua medali ya dhahabu kwenye michezo ya olympic inayotarajiwa kufanyika mnamo mwaka 2024 mjini Paris nchini Ufaransa .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS