Rais aongoza maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amewaongoza Watanzania kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara katika sherehe zilizofana zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.