Rais aongoza maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amewaongoza Watanzania kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara katika sherehe zilizofana zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS