Tambo za Kariakoo Derby zafika mahala pake

(Hassan Bumbuli wa Yanga (kushoto) na Ally Shatry wa Simba (kulia))

Zikiwa zimesalia siku tatu kuelekea kwenye mchezo wa Kariakoo Derby, Simba na Yanga Disemba 11, 2021 kwenye dimba la Mkapa, Maaofisa habari wa vilabu hivyo wametambiana kuondoka na alama tatu muhimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS