Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, usiku wa leo Jumatano ya Desemba 8, 2021, amewahutubia Watanzania na kuwasihi kwamba waendelee kutembea vifua mbele na kujivunia maendeleo yaliyopo kwa sasa.