Madereva wa serikali wadai hulazimishwa kasi kubwa

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha SP Solomon Mwangamilo

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha SP Solomon Mwangamilo, amewataka madereva wa magari ya serikali kufuata sheria za barabarani ili kupunguza ajali na kuvichukulia vyombo hivyo kama vyao na kuacha tabia ya visingizio kwamba hulazimishwa na wakubwa wao kuendesha hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS