Bale kustaafu kucheza soka, kisa kombe la Dunia

Gareth Bale

Winga wa kimataifa wa Wales na klabu ya Real Madrid ya Hispania Gareth Bale atatangaza kustaafu kucheza soka mwishoni mwa msiku huu wa 2021-22 endapo kama timu ya taifa ya Wales itashindwa kufuzu katika fainali za kombe la Dunia zitakazofanyika nchini Qatar mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS