Mwana FA aingilia mgogoro wa Mac Voice na Rayvanny

Picha ya Mwana FA akiwa na msanii Mac Voice

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amekutana na msanii Mac Voice kusikiliza malalamiko yake yanayohusu mgogoro kati yake na Rayvanny kwenye lebo ya Next Level Music.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS