Marekani haihitaji tena msaada wa Uingereza-Trump
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa kauli ya kejeli na onyo kwa mshirika wake wa muda mrefu, Uingereza, kufuatia taarifa kuwa nchi hiyo inafikiria kutuma meli zake mbili kubwa za kubeba ndege za kivita (Aircraft Carriers) kuelekea Mashariki ya Kati.

