Wakimbizi 53 wa DRC wafariki nchini Burundi Serikali ya DRC inasema inafuatilia kwa karibu kinachotokea kwa raia wake nchini Burundi, na inafanya jitihada za kuwapelekea chakula, dawa na mahitaji mengine muhimu. Read more about Wakimbizi 53 wa DRC wafariki nchini Burundi