Shauri la Lissu kuamuriwa Machi 26

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Ijumaa Machi 06.2026 imesikiliza maombi yanayotokana na shauri la madai Na.8323/2025, maombi yaliyoletwa Mahakamani hapo na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS