East Africa Radio yaongeza wigo wa michezo East Africa Radio imeenza mwaka mpya wa 2018 kwa kuwaletea wasikilizaji wake na wapenzi wa michezo kipindi kipya cha michezo 'Kipenga Xtra' kinachoruka saa 6:00 hadi saa 7:00 mchana, Jumatatu hadi Ijumaa. Read more about East Africa Radio yaongeza wigo wa michezo