Amchoma moto mtoto kisa Sukari

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara,  Jaffary Mohamed  amethibitisha kuwa wanamshikila Nyandaro Kusoya mkazi wa kijiji cha Nyang'oma kwa tuhuma za kumchoma moto mikono yote mtoto wa kaka yake, Sarah Kaela.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS