Maamuzi mapya ya Yaya Toure Mchezaji wa kimataifa wa Ivory Coast Yaya Toure ametangaza kurejea katika timu yake ya Taifa ya Ivory Coast ikiwa ni mwaka mmoja na miezi mitatu toka atangaze kustaafu kuichezea timu hiyo. Read more about Maamuzi mapya ya Yaya Toure