''Sikumpumzisha Ronaldo'' - Zidane Kocha wa Real Madrid Zinedine Zidane amesema kitendo cha kumtoa Cristiano Ronaldo kwenye mchezo wa jana dhidi ya Levante dakika ya 82 haikuwa kwasababu ya kumpumzisha. Read more about ''Sikumpumzisha Ronaldo'' - Zidane