Zitto aguswa na hali ya Samatta

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemtembelea nahodha wa Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa KRC Genk nchini Ubelgiji, Mbwana Samatta na kudai amefurahi kumkuta mzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS