Zitto aguswa na hali ya Samatta Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemtembelea nahodha wa Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa KRC Genk nchini Ubelgiji, Mbwana Samatta na kudai amefurahi kumkuta mzima. Read more about Zitto aguswa na hali ya Samatta