CHADEMA walia na msimamizi wa uchaguzi

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo , kimemlalamikia msimamizi wa uchaguzi  jimbo la Kinondoni kwa kudai kuwa  anaashiria kuharibu uchaguzi unaotarajia kufanyika Februari 17,2018 kwa kutowapa viapo mawakala Februari jana kunaashiria njama

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS