Ni vita ya Ronaldo na Messi kufunga mwaka
Leo ni vita ya kufunga mwaka kwenye ligi kuu soka ya Hispania maarufu kama La Liga, nyota wawili kutoka timu mahasamu Cristiano Ronaldo wa Real Madrid na Lionel Messi wa Barcelona watakuwa wanawania kufunga mwaka wakiwa na mabao mengi zaidi.