Baada ya kipigo, Simba kumpokea Kwasi Klabu ya soka ya Lipuli FC imetoa taarifa kuwa tayari imepokea ofa ya shilingi milioni 25 kutoka Simba kwaajili ya kumsajili beki Asante Kwasi raia wa Ghana. Read more about Baada ya kipigo, Simba kumpokea Kwasi