"Afrika yaazimia kuzalisha umeme"- Majaliwa Waziri Mkuu Kassima Majaliwa. Waziri Mkuu Kassima Majaliwa amesema nchi za Bara la Afrika zimeazimia kujiimarisha katika uzalishaji wa umeme hadi vijijini ili uweze kuleta maendeleo. Read more about "Afrika yaazimia kuzalisha umeme"- Majaliwa