Serikali yawapa agizo watoa ajira nchini

Serikali ya Tanzania imewataka watoa ajira wote nchini kwa vijana wanaoendesha bodaboda na bajaji kuwapa mikataba ya kazi vijana hao ili iweze kuwalinda na kuwasaidia katika kupata huduma nyingine pindi wapatapo matatizo kwenye shughuli zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS