Kiongozi wa upinzani ajitolea kufa Kiongozi wa upinzani nchini Kenya kupitia NASA, Raila Omolo Odinga, amesema yupo tayari kufa ikiwa ndiyo gharama atakayolipa baada ya kuapishwa kama rais wa wananchi, lakini lazima haki itendeke. Read more about Kiongozi wa upinzani ajitolea kufa