Mbowe afungukia wanaohama upinzani
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amesema wabunge wanaokimbilia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanafanya hivyo kwa kuwa huko kuna maslahi na kwamba wana haki ya kufanya hivyo kwa sababu upinzani hauwezi kuwazuia.