Asante Kwasi azidi kuzichanganya Simba na Lipuli Klabu ya soka ya Lipuli FC imesema mlinzi Asante Kwasi bado ni mchezaji halali wa kikosi hicho na alitakiwa kuripoti kambini tangu Disemba 16 mwaka huu lakini hajafanya hivyo hadi sasa. Read more about Asante Kwasi azidi kuzichanganya Simba na Lipuli