Nikki wa Pilli avunja ukimya kwa wizara ya sanaa

Msanii Nikki wa Pili aamua kufunguka juu ya kitendo cha wizara inayohusika na masuala ya sanaa kuwachukulia hatua wasanii kwa sababu zilizotajwa za kimaadili, na kusema kwamba suala hilo wasiliangalie kwa upande mmoja pekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS