Ndugai amwaga chozi kwa Ndesamburo

Kushoto ni Philemoni Ndesamburo (Marehemu), Kulia ni Spika Job Ndugai

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Job Ndugai amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe, kufuatia kifo cha Mzee Ndesamburo kwa kuweka wazi kwamba ni kiongozi ambaye alikua mchapakazi kwa wananchi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS