QUICK PROFILES

ALLY S. DUNDUKA
+

Nimezaliwa mwaka 1995 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAm

Mimi ni mtoto wa DUNDUKA katika familia ya watoto 3 nina KAKA 2

Ninaishi na MJOMBA NA SHANGAZI

Mimi nimesoma mpaka FORM 4

 

BAKARI RAJABU
+

Nimezaliwa mwaka 1993 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 6 nina kaka 2

Ninaishi KONGOWE na MAMA YANGU na WADOGO ZANGU

Mtaani kwangu najulikana kwa BEKA DANCER

Mimi nimesoma mpaka DARASA LA7

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) KULIMA BUSTANI

MZEE KHALIFAN
+

Nimezaliwa mwaka 1997 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa KHALFAN katika familia ya watoto 4 nina DADA 1

Ninaishi BABA na MAMA

Mtaani kwangu najulikana kwa B.BOY

Mimi nimesoma mpaka FORM 4

MASUDI ABILLAH
+

Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa MWISHO katika familia ya watoto 5 nina KAKA 3 na DADA 1

Ninaishi na BABA MDOGO na BABA MKUBWA

Mtaani kwangu najulikana kwa MASUDI

Mimi nimesoma mapaka FORM 4

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) FUNDI WELDING

ALLY ABDALLAH SAID
+

Nimezaliwa mwaka 1996 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 3 nina KAKA 1 na DADA 1

Ninaishi na MAMA na BABA

Mtaani kwangu najulikana kwa DANCER

Mimi nimesoma mpaka FORM 4

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) KUSAFILISHA BIDHAA

ABDALLAH JUMANNE MKEBEGA
+

Nimezaliwa mwaka 1992 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 5

Ninaishi na BABA na MAMA

Mtaani kwangu najulikana kwa KUDANCE

Mimi nimesoma mapaka FORM 4

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) KUJISHUGHULISHA