Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ado atoa siri kuhusu Nape, Bashe

Thursday , 10th Jan , 2019

Katibu wa Itikadi na Uenezi Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema kwamba muswada wa sheria wa Vyama vya Siasa vipo vifungu vimetengenezwa maalumu kwa viongozi kama kina Nape Nnauye na Hussein Bashe ili kuwawekea mazingira magumu kutokana na yanayoendelea ndani ya chama chao.

Katibu wa Itikadi na Uenezi kushoto, Ado Shaibu Mbunge Nzega Mjini ,Hussein Bashe Katikati na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye.

Leo Januari 10 katika kipindi cha East Africa Breakfast ya East Africa Radio, Ado amesema kwamba katika muswada huo kipo kifungu ambacho kinamzuia mtu anayefukuzwa chama chake kuhamia chama kingine na kupewa nafasi ya kugombea.

Aidha amesema kwamba kwa fukuto linaloendelea katika Chama Cha Mapinduzi wao kama upinzani wanahitaji kutumia udhaifu na migongano iliyopo ndani ya chama hicho kama fursa ya kujinufaisha nayo ndiyo maana wanaunga pia kupinga muswada huo wa sheria ya vyama vya siasa.

"Niweke wazi kwamba watu kama kina Nape, Bashe ndiyo wanaowekewa vifungo vya namna hii. Sisi wapinzani tunachukua fursa wao wanavuruga basi na sisi lazima tuwavuruge. CCM kwa kuwa wanajua wanalo fukuto wanatengeneza mazingira ya kuwanyima nafasi za kugombea 2020 endapo watashugulikiwa", amesema kiongozi huyo.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi