
Mtangazaji wa East Africa TV King Smash

Wanafainali wa lUCL msimu uliopita PSG, wakiongozwa na Neymar (Kushoto), Kylian Mbappe (Katikati) na Angel di Maria (Kulia) watakuwa na kibarua cha kuhakikisha wanashinda leo ili wafuzu hatua ya 16 bora.

Mkurugenzi wa ufundi wa klabu ya Gwambina, Mwinyi Zahera akizungumza na Waandishi wa Habari.

Barcelona dhidi ya Juventus kwenye Klabu Bingwa Ulaya

Rais Magufuli pamoja na waombolezaji wengine (waliokaa juu) wakati wa kuaga mwili.

Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu

Manchester United wanahitaji sare tu, dhidi ya Rb Leipzing usiku wa leo ili kujihakikishia nafasi hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa ulaya

Mwenyekiti wa Umoja wa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wanaoishi Kigamboni Dar es Salaam Kassim Kibwe.

Mchezo wa usiku wa leo utakuwa ni wa 36 Lionel Messi na Crsitiano Ronaldo wanakutana kwenye ngavi zote klabu na timu ya taifa