Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yapata kigugumizi kuhusu Madiwani wake

Sunday , 22nd Jul , 2018

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepatwa na kigugumizi kutaja sababu ya kuwavua uanachama madiwani wake watatu siku ya jana (Jumamosi, Julai 22) na kubaki wakisisitiza ni utovu wa nidhamu.

Akizungumza na www.eatv.tv, Mkurugenzi wa Itifaki na Mawasiliano ya Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema amewataja madiwani waliovuliwa uanachama kuwa ni Geofrey Kajigili wa Kata ya Sisimba, Newton Mwatujobe wa Kata ya Manga na Humphrey Ngalawa wa kata ya Iwambi Jijini Mbeya huku akishindwa kutaja sababu iliyopelekea maamuzi hayo kufanyika kwa kudai suala hilo lipo kwenye uchunguzi.

 "Ni kweli tumewavua uanachama Madiwani hao watatu kutokana na vitendo vyao vya utovu wa nidhamu walivyovionyesha ambavyo vinakinzana na chama chetu. Siwezi kusema nini hasa wamekifanya kwa kuwa jambo hilo kwa  sasa lipo kwenye Kamati Kuu linasubiriwa kufanyiwa maamuzi", amesema Mrema.

 Pamoja na hayo, Mrema amesema kwa sasa hawezi thibitisha jambo lolote kuhusu diwani Kajigili kudaiwa kumpigia kampeni hadharani Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, kwamba anastahili kuwa Mbunge wa Mbeya mjini mpaka pale Kamati Kuu itakapotoa maamuzi yao juu ya uchunguzi ambao wanaufanya.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea