Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Haya ndiyo mafanikio ya vifungo vya nje

Tuesday , 21st Mar , 2017

Takwimu zinaonesha kati ya wafungwa 4,815 walionufaika na mpango wa Parole (Wafungwa kupewa vifungo vya nje) ni wafungwa 25 pekee ambao walikiuka masharti

Waziri wa Mambo ya Ndani - Mwigulu Nchemba

Takwimu hizo zimetolewa leo Jijini Dar es salaam na Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. Mwigulu Nchemba wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya Parole na kusema mpango huo una lengo la kupunguza msongamano wa wafungwa magerezani na kuisaidia idara ya mahakama kusikiliza kesi za watuhumiwa kwa uharaka.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Parole Mhe. Augustine Mrema amesema kazi yake kwa sasa ni kuhamasisha wananchi waache kufanya vitendo vya kihalifu.

Wakati huohuo waziri Mwigulu amezungumzia suala la haki ya mtuhumiwa hususani anapokamatwa au kushikiliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano,ambapo amesema jeshi la polisi lina wajibu wa kumuachia huru mtuhumiwa yoyote ambaye anabainika kutohusika katika tuhuma alizoshukiwa.

“Mwenye Makosa ni vizuri kufika kwenye mikono ya sheria, lakini mkijiridhisha kwamba hana makosa, au siyo yeye mliokuwa mnamtafuta, isiwe tabu kumuachia”  Amesema Nchemba

Mtazame hapa

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa