Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joshua Nassari avuliwa Ubunge

Thursday , 14th Mar , 2019

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amemuandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya taifa ya uchaguzi Jaji Semistocles Kaijage, kumtaarifu kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki lililokuwa likiongozwa na Joshua Nassari liko wazi.

Joshua Nassari.

Kupitia taarifa iliyotolewa na ofisi ya ya Bunge kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa Kimataifa, imesema kuwa Nassari amepoteza sifa za kuwa Mbunge kutokana na kitendo cha kutohudhuria vikao vitatu vya Mikutano ya Bunge.

"Uamuzi huo wa Spika umezingatia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 71 (1)(c). Ibara hiyo inaeleza kuwa, Mbunge atakoma kuwa Mbunge au ataacha kiti chake Katika Bunge ikiwa atakosa kuhudhuria vikao vya Mikutano ya Bunge mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika", imesema taarifa hiyo.

Vikao vilivyomponza Nassari

Nassari hajahuduhuria Mkutano wa kumi na mbili wa tarehe 4 hadi 14 Septemba 2018, mkutano wa kumi na tatu wa tarehe 6-16 Novemba 2018 na mkutano wa kumi na nne wa tarehe 29 Januari hadi 9 February 2019.Nassari akiwa kwenye moja ya kikao na viongozi wa CHADEMA jimboni kwake

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea