Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Matumizi ya 'Antibiotics' yanavyoweza kuacha sumu

Friday , 16th Nov , 2018

Watu wametakiwa kuwa makini na matumizi ya dawa hususani 'Antibiotics' bila kufuata ushauri wa daktari, jambo ambalo ni hatari kwani hutengeneza sumu mwilini kutokana na dawa hizo kuwa na kemikali sumu ambazo hupambana na bakteria.

Antibiotics

Akizungumza kwenye MJADALA wa East Africa Television, Mtaalam wa Afya kutoka Hospitali ya taifa Muhimbili Ruchius Philbert amesema kuwa imekuwa ni tabia ya wengi kunywa dawa kwa mazoea lakini madhara yake ni makubwa.

"Dawa za Antibiotic hazitibu magonjwa yote kama wengi wanavyodhani kuwa dawa hiyo ina msaada kwenye kila ugonjwa, na kuna wakati dawa hizi zikitumika ovyo husababisha kuua baadhi ya bakteria wanaolinda kinga mwilini", amesema .

Ameongeza kuwa bila kufanya vipimo na kujua mgonjwa anaumwa ugonjwa gani, kuna hatari ya kutumia dawa ambazo mwisho zitakosa vimelea vya ugonjwa wa kupambana nao na mwisho kutengeneza sumu ambayo ni hatari zaidi kwa kinga ya mwili.

Tanzania na dunia kwa ujumula ipo kwenye maadhimisho ya wiki ya matumizi ya dawa za 'Antibiotiki' ambapo Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto inatoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ili kuepusha ongezeko la magonjwa yanayosababishwa na matumizi mabaya ya dawa.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea