Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbowe amfagilia katibu mpya CHADEMA Dkt. Mashinji

Monday , 14th Mar , 2016

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe ameweka wazi sababu za chama hicho kimemteua Dkt. Vicent Mashinjji kuwa katibu Mkuu mpya wa Chama hicho.

Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vicent Mashinji.

Akiongea jana katika Mkutano wa hadhara wa kumtambulisha katibu mkuu huyo jijini Mwanza katika Viwanja vya furahisha Mhe. Mbowe amesema sifa na uwezo wake wa kimkakati katika kuimirisha chama ndiyo sababu kubwa iliyofanya waweze kumteua Dkt. Mashinji.

Kwa upande wake Katibu Mkuu huyo Mpya akiongea na wananchi waliojitokeza katika utambulisho wake huo amesema kuwa jukumu lake la kwanza ni kujenga chama kimkakati zaidi ili kiweze kusonga mbele.

Aidha amesema kuwa dhamira yake kubwa ni kuona katiba, Sheria na maamuzi ya wananchi yanafuatwa ikiwa ni pamoja na kudumisha amani na utulivu huku akisema kuwa uongozi wake utagatua zaidi madaraka kwa wananchi.

Nae aliyekuwa Mgombea urais wa Chama hicho kupitia mwamvuli wa UKAWA,Mhe. Edward Lowassa amewashukuru wananchi wa Mwanza kwa kura walizompigia lakini akasisitiza kuwa safari ya mabadiliko imeanza tena rasmi kupitia katibu mkuu huyo Mpya.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea