Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Miguna apigwa chini, Sonko afanya maamuzi

Wednesday , 13th Jun , 2018

Gavana wa Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi Mike Mbuvi Sonko amesema atachagua mgombea mwingine nafasi ya Naibu Gavana wa Nairobi baada ya bunge la kaunti ya Nairobi, Jumanne hii kukataa uteuzi wake wa Mwanasheria Miguna Miguna.

Katika taarifa kwa vyombo vya habari, Sonko amesema atatoa jina jingine baada ya "ushauri wa kutosha."

"Nitawasilisha mteule mwingine aliyestahili kwenye bunge la kaunti ya Nairobi baada ya kushauriana kwa kuhakikisha kuwa Nairobi inapata Naibu  Gavana anayestahili kusaidia katika utoaji wa huduma," amesema Sonko.

Aidha ameeleza kwamba "Ninataka kukubali uamuzi wa bunge la kaunti ya Nairobi kukataa uteuzi wa Dk Miguna Miguna kama Naibu Gavana wa Nairobi kwa sababu ya uraia kama ilivyoelezwa kwenye  kifungu cha 78 cha Katiba."

Mbali na hayo Spika wa bunge Beatrice Elachi,  Jumanne hii  alielezea kwamba hakuwa na uwezo wa kujadili uteuzi wa Miguna kwa sababu afisa wa Serikali hawezi kushikilia uraia miwili.

Hata hivyo Serikali ya Kenya  imesisitiza mara kwa mara kwamba Miguna si raia wa Kenya, kwa hivyo, ataruhusiwa tu kuingia nchini humo kwa kutumia pasipoti yake ya halali ya Canada.

Katibu Mkuu wa Uhamiaji Gordon Kihalangwa alisema Miguna lazima aomba tena upya kurejesha uraia wake nchini Kenya.

Mei 17 mwaka huu Gavana Sonko alimpendekeza Mwanasheria Miguna kuwa Naibu Gavana wa Mji wa Nairobi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa