Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msafara wa Mbowe wavamiwa na Morani

Friday , 14th Sep , 2018

Msafara wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, umevamiwa na kundi la Morani wakimpokea na kumlaki wakati akiwasili wilayani Monduli mkoani Arusha kwa ajili ya kampeni za Chama chake zinazoendelea katika jimbo hilo leo.

Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe akipokelewa jijini Arusha.

Baada ya kulakiwa Mbowe ametoa hotuba yake kwa wakazi wa Monduli kuwa ifike mahali waachwe washindane kwa hoja na sio siasa za chuki kama ambavyo baadhi ya viongozi wanafanya katika mikutano ya kampeni kwani wote wamepewa mamlaka na wananchi ambao ndio wapiga kura.

Tusihukumiwe kwa tofauti zetu, tusihukumiwe kwa historia zetu, tulumbane kwa hoja”, amesema Mbowe.

Kwa upande wake mgombea wa Ubunge jimbo la Monduli (CHADEMA) Yohana Masiaya amesema kuwa hatolishusha hadhi jimbo la Monduli na kurejesha heshima ya jimbo hilo kulingana na historia yake ikiwemo kuongozwa na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa.

CHADEMA wanamnadi mgombea wao Yohana Masiaya ambaye anapigania kiti cha Ubunge kwa kupitia jimbo la Monduli ambalo awali lilikuwa likishikiliwa na Mbunge wa CHADEMA, Julius Kalanga kabla ya kujivua Ubunge na kukihama chama hicho kisha kukimbilia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Agosti 4, 2018, tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika majimbo matatu ya Monduli, Ukonga na Korogwe Vijijini na wa udiwani katika kata mbili za Tanzania Bara utakaofanyika Septemba 16, mwaka huu, ambapo kampeni zilianza Agosti 21 na zitamalizika kesho Jumamosi Septemba 15.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea