Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nassari ashtakiwa, Spika atakiwa 'kumvua Ubunge'

Tuesday , 12th Feb , 2019

Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Meru mkoani Arusha kimelalamikia kutoonekana kwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kwa zaidi ya miaka 2 na kueleza kutokuwa na taarifa yoyote kiongozi huyo yuko wapi.

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM wilayani humo,Simon Kaaya, wanalazimika kufanya kazi za Mbunge huyo licha ya kutokuwepo katika mikutano ya Bunge kwa kipindi kirefu.

Akizungumza Jijini Arusha Simon Kaaya amesema, "tunajua mheshimiwa Lissu alikuwa anaugua na yuko nje ya nchi kwa matibabu lakini kuna kijana mwingine, Joshua Nassari ambaye hatujui yuko wapi Bungeni hayupo, jimboni hayupo huu sasa ni mwaka wa pili lakini sijamsikia Spika akitoa mwongozo tunamuomba Spika atusaidie."

Mara kwa mara Joshua Nassari amekuwa haonekani lakini kupitia chama chake walishawahi kueleza kiongozi huyo alikuwa akimalizia masomo yake nje ya nchi.

Lakini kupitia ukurasa wake rasmi wa instagram, Joshua Nassari mara ya mwisho alipost picha Januari 27 mwaka huu akiwa na moja ya viongozi kutoka nchini Kenya Raila Odinga lakini hakubainisha ni wapi alipokuwa.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea