Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kuondoa matumizi yasiyo ya lazima

Tuesday , 12th Sep , 2017

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa serikali itaendelea kukata na kuondoa matumizi yasiyo ya lazima ili kuweza kuboresha  huduma za jamii.

Samia Suluhu Hassan

 

Mhe. Samia Suluhu  amesema hayo leo wakati akizindua Programu ya Maboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma Awamu ya Tano 2017/18 - 2021/22 .

Mh. Suluhu amesema Maboresho ya Usimamizi wa Fedha za Umma ni chachu pia ya kuongezeka kwa mafanikio katika kuboresha  Afya, Elimu na Maji, kutengeneza mazingira mazuri ya biashara, kuondoa mianya ya rushwa.

Aidha amehimiza matumizi ya risiti za kieletroniki kwa Idara za Serikali, Taasisi na Wafanyabiashara na kuwataka wananchi kudai risiti kila wanapofanya manunuzi.

Programu hii iliyoanza mwaka 1998 imekuwa na mafanikio makubwa  ambapo katika awamu hii Serikali imetangaza vita kubwa dhidi ya rushwa, itaboresha mifumo ya kifedha, kuongeza uwezo wa wakaguzi wa ndani ikiwa pamoja na kuwapa mafunzo yanayoendana na teknolojia ya wakati huu.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea