Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shule ya Kisimiri waeleza siri ya kuongoza kitaifa

Friday , 12th Jul , 2019

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kisimiri, Valentine Tarimo, iliyoshika namba moja katika matokeo ya Kidato cha sita 2019, amesema kujituma na kufanyakazi kwa ari, ikiwa ni pamoja na kuweka mipango thabiti, ndiyo chanzo kikubwa cha kuleta ufaulu huo.

Shule ya Sekondari ya Kisimiri

Ameeleza mipango iliyothabiti ambayo huwa wanajiwekea kila mwaka, imekuwa ndiyo chachu kubwa ya maendeleo yao, ambapo kwa mwaka huu wametimiza lengo kwa asilimia 99, baada ya wanafunzi takribani 58 kupata daraja la kwanza huku wanafunzi wawili pekee wakibaki na daraja la pili.

''Huwezi amini nikikuambia unaweza ukashangaa sana, Kidato cha 6 waliomaliza ambao leo tunafurahia matokeo yao, nimekula nao sikuukuu zote, hawakwenda likizo za Krismas, Mwaka Mpya na Pasaka'', ameeleza. 

Aidha mkuu huyo wa shule ameongeza, ''Matokea yake ndio haya, ukiangalia inahitaji uwajibikaji wa hali ya juu, sisi tunaamua kutoa likizo zetu, kwa ajili ya maslahi mapana ya vijana'', alisema Mwalim Tarimo.

Aidha mwalimu Tarimo ametoa rai kwa wadau wa elimu, kuiga mfano huo wa kujitoa, lakini pia kujenga ushirikiano na uhusiano mzuri na wazazi, ili waweze kutoa ridhaa ya watoto wao, wakati wa likizo kubaki shuleni.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea