Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sugu amtaka JPM kuongeza mishahara

Friday , 12th Apr , 2019

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amemtaka Rais Magufuli atakapofika Mbeya kwa ajili ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma kwa sababu miaka yake minne hajawahi kuongeza hata kidogo.

Mbilinyi ametoa kauli hiyo wakati akichangia bajeti ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ambapo amesema anamuomba Rais atakapokuwa Mbeya aongeze mishahara kwa wafanyakazi.

Wafanyakazi wana hali mbaya sana maeneo yote ya nchi hii. Rais aangalie suala la wastaafu wengine ni mwaka wa pili sasa hawajalipwa mafao yao, katika idara za ulinzi na usalama kama Magereza, Polisi ni miaka miwili wastaafu wapo kota hawana nauli za kubebea mizigo kurudi kwao”.

Rais amesema Watanzania si wajinga kwa tukio la Mohammed Dewji, pia Watanzania wanajiuliza kuhusu Tundu Lissu na Ben Saanane uchunguzi unaendeleaje”, ameongeza Mbunge Sugu.

Sugu ni miongoni mwa Wabunge 10 wa Bunge la Tanzania ambao kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 walishinda kwa kura nyingi, aliwahi kufungwa jela miezi 5 kwa makosa ya kutoa kauli za uchochezi lakini baadaye aliotolewa kwa msamaha wa Rais.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea