Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tatizo la maji lamalizwa

Monday , 18th Sep , 2017

Serikali imefanikiwa kumaliza tatizo la maji safi na salama eneo la Kilungule B Kimara Jijini Dar es salaam,eneo ambalo halikua na huduma hiyo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20 na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa eneo hilo.

Akizungumza leo mara baada ya kuzindua kizimba jamii cha maji safi kilichotengenezwa na shirika la maji safi na maji taka DAWASCO kupitia fedha zilizotolewa na serikali kuu Mkuu wa wilaya ya Ubungo Kisare Makore amesema maendeleo hayo yanayofanywa na serikali ni jukumu la kila mwana jamii kuhakikisha wanasimamia uzalishaji wa huduma hiyo ili kupunguza kero za maji.

Kwa upande wake meneja wa DAWASCO kwa eneo la Kimara Injinia Pascal Fumbuka amesema utekelezaji wa mradi huo ni wa kilomita nne na unatarajia kuhudumia wanachi zaidi ya elfu 5000 katika eneo hilo.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Kimara Pascal Manota amesema wanafanya jitihada za kuhakikisha maji hayo yanawanufaisha wanachi wa eneo hilo na jirani kwakuwa kwa kipindi cha nyuma yameripotiwa matukio mengi ya watu kuumia pindi wanapoenda kutafuta maji safi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea