Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Theresa May akubali kung'atuka

Friday , 24th May , 2019

Waziri Mkuu wa Uingereza, Bi Theresa May ametangaza kuwa atajiuzulu wadhifa wake ifikapo Juni 7, 2019.

Bi May amehudumu katika  nafasi hiyo kwa muda wa miaka mitatu, ambapo amesema muda uliosalia kabla ya kuachia ngazi utumike kwa ajili ya mchakato wa kumpata Waziri Mkuu mpya wa serikali ya nchi hiyo.

Waziri Mkuu huyo anayetokea katika chama cha Conservative amekumbana na ukosoaji mkubwa kutoka kwa miongoni mwa wabunge wake kutokana na mpango wake wa kujitoa katika muungano wa mataifa ya Ulaya, maarufu kama 'Brexit' ambapo ushawishi wake umeonekana kuhusisha vyama vingine.

Katika taarifa yake leo Ijumaa, Bi May amesema kuwa ili kufanikisha mpango wa Brexit, ni lazima mrithi wake aimarishe ushawishi na maelewano mazuri katika bunge.

"Makubaliano hayo yanaweza kufanikiwa tu endapo kila upande ulio katika mdahalo ukiwa tayari kuelewana", amesema Bi May katika hotuba yake.

"Mimi nafanya hivyo bila dhamira yoyote, lakini kwa shukrani kubwa na ya kudumu kuwa na fursa ya kutumikia nchi ninayoipenda", ameongeza.

Naye kiongozi wa chama cha Labour, Jeremy Corbyn, amesema kuwa ni haki kwake kujiuzulu na kusisitiza kuwa  ni wakati sasa wa wananchi wa nchi hiyo kuamua mustakabali wa taifa lao kupitia uchaguzi mkuu wa haraka.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu